AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Ndemla ambaye amepata nafasi ya kufanya majaribio ya soka la kulipwa katika klabu ya AFC Eskilstuna nchini Sweden sasa anatarajiwa kusafiri Novemba 9 mwaka huu.
TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI
Tunapenda kuwafahamisha kuwa safari ya mchezaji wetu Hamis Said Juma Ndemla iliyokuwa ifanyike leo Jumanne imesogezwa mbele.
Ndemla ambaye amepata nafasi ya kwenda kufanya majaribio katika klabu ya AFC Eskilstuna inayoshiriki ligi kuu nchini Sweden, sasa ataondoka nchini siku ya Alhamis ya tarehe 9 ya mwezi huu.
Mabadiliko haya ya safari hayataathiri muda wake wa majaribio katika klabu hiyo,ambapo atakuwa huko kwa siku 14.
Imetolewa na Mkuu wa Idara ya Habari na Mawasiliano,
Simba Sports Club.
Haji S.Manara.
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK