AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Akiongea na Bongo5, Steve amedai kuwa hakuna mtu mdogo anayetukanwa bali mtu mkubwa ndiye anayetukanwa.
“Unapokuwa baba unapokuwa kiongozi, kutukanwa ni moja ya kuwa mpana hakuna mdogo ambaye anatukanwa mkubwa ndiye anayetukanwa kwa sababu matusi ndiyo yanayomuingia na anatanua wigo,” amesema Steve.
Pia akaongeza kuwa “Kiongozi bora ni yule anayetukana na nataka kuwa ambia kuwa yale ni mambo ya kifamilia hatutakiwi kuyaongelea hayapo kwenye uzalendo.”
Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.
Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA
Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK