Steve Nyerere Afunguka Sakata Lake na Mzazi Mwenzie Joti

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Steve Nyerere Afunguka Kuhusu Mzazi Mwenzie Joti
Muigizaji wa filamu nchini, Steven Nyerere ameto majibu ya post zilizosambaa mtandaoni zinazodai kuwa ni amepewa onyo kali na mzazi mwenzake na Joti. Ni baada ya kumuigiza mtoto wake katika masuala ya ndoa ya Joti.

Akiongea na Bongo5, Steve amedai kuwa hakuna mtu mdogo anayetukanwa bali mtu mkubwa ndiye anayetukanwa.

“Unapokuwa baba unapokuwa kiongozi, kutukanwa ni moja ya kuwa mpana hakuna mdogo ambaye anatukanwa mkubwa ndiye anayetukanwa kwa sababu matusi ndiyo yanayomuingia na anatanua wigo,” amesema Steve.

Pia akaongeza kuwa “Kiongozi bora ni yule anayetukana na nataka kuwa ambia kuwa yale ni mambo ya kifamilia hatutakiwi kuyaongelea hayapo kwenye uzalendo.”
----

Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.

Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA

Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad