AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Meya wa Kinondoni Benjamin Sitta amesma hayo akiwa Soko la Samaki Msasani wakati akifunga maadhimisho ya Siku ya Mvuvi ambayo iliambatana na utoaji wa zawadi kwa wavuvi waliofanya vizuri katika mashindano yakuvua samaki kwa vitumbwi na ngalawa yalioandaliwa na taasisi ya Tuna ambapo mshindi wa kwanza alipata tsh 400,000, wapili tsh 300,000 na wa tatu tsh 200,000.
Alisema serikali imesema inampango na mkakati mzuri katika kuliendeleza sekta ya uvuvi kufika mbele zaidi ili sekta hiyo iweze kufanya vizuri na kusonga mbele zaidi
Meya alisema wavuvi wanapaswa kuwa wabunifu ili kusaidia sekta hiyo kufanya vizuri zaidi
Afisa Uvuvi wa Manispaa Kinondoni Bi Grace Kakama akizungumza katika kilele hicho amesema kama kuwa watahakikisha wavuvi wanafanya kazi katika mazingira mazuri ili waweze kuinuka kwa kipato zaidi.
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK