Sijaalikwa Kwenye Ndoa ya Dogo Janja Kwakuwa ni Kiki Ingekuwa Kweli Ningealikwa- Nandy

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Sijaalikwa Kwenye Ndoa ya Dogo Janja Kwakuwa ni Kiki Ingekuwa Kweli Ningealikwa- Nandy
STAA wa Bongo Fleva, Faustina Charles ‘Nandy’ amefunguka kuwa, kama msanii mwenzake, Abdulaziz Chande ‘Dogo Janja’ angemuoa msanii wa Bongo Muvi, Irene Uwoya ni lazima angealikwa kutokana na ukaribu waliokuwa nao.

Akipiga stori na Star Mix, Nandy alisema kipindi hiyo ishu inatokea alikuwa kwenye ziara ya kimuziki lakini licha ya hivyo ni wazi angejulishwa.

“Kwa kuwa ishu imebainika ni kiki sioni haja ya kuwalaumu wawili hao kwa kuwa naamini hawakukurupuka kufanya hivyo. Lakini kama ingekuwa kweli ningealikwa tu,”alisema.

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad