AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Akizungumza na Full Shangwe, Ebitoke alisema kuwa, si rahisi kwa yeye kupotea kwenye gemu kwa sababu amezaliwa kuchekesha, ana madude ya hatari ingawa kwa sasa yuko kwenye majukumu mengine.
“Ha ha ha haaa! Siyo rahisi kupotea kihivyo kama watu wanavyodhani, niko na madude ya hatari sijayaachia, sema kuna majukumu mengine ya kikazi nayafanya,”alisema Ebitoke
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK