AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Kampuni hiyo imedai kuwa T-Pain alitayarisja wimbo “Got Money,” ambao aliimba pia. Pia mmoja wa wasanii wake, Young Fyre, alitayarisha wimbo “How to Hate” uliomo kwenye album hiyo.
Kwa mujibu wa maelezo ya mahakamani, Young Money ilitakiwa kumlipa T-Pain mrabaha toka kwenye mradi huo. Na sasa kampuni inataka ilipwe $500,000.
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK