Ajibu Atoa Shukrani Yanga Agawa Milioni Moja kwa Wachezaji Wenzake

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Ajibu Atoa Shukrani Yanga Awagawa Milioni Moja kwa  Wachezaji Wenzake
MSHAMBULIAJI wa Yanga, Ibrahim Ajibu ambaye ni tegemeo hivi sasa jana aliwagawia wachezaji wenzake shilingi 400, 000 kama sehemu ya shukrani kwao baada ya kuchaguliwa kuwa mchezaji bora kwenye mbili za Ligi Kuu Bara na kuzawadiwa shilingi milioni moja.
Hiyo, ikiwa ni siku chache tangu akabidhiwe shilingi milioni moja na Kundi la la Whatsap la Yanga For Life linaoundwa na baadhi ya wasanii ya filamu nchini.
Ajibu alipewa shilingi milioni moja baada ya kufanikiwa kuchaguliwa kuwa mchezaji bora kwenye mechi mbili mfululizo za Ligi Kuu Bara ambazo amezicheza.
Mechi hizo, alizozicheza ni dhidi ya Kagera Sugar ambayo alifunga na kumtengenezea bao moja Mzambia, Obrey Chirwa mchezo uliopigwa kwenye Uwanja wa Kaitaba, Kagera.
Ajibu aligawa fedha hizo, jana mara baada ya mazoezi ya timu hiyo kumalizika yaliyofanyika kwenye Uwanja wa Uhuru jijini Dar es Salaam kabla ya leo saa 11:30 alfajili kuelekea Mkoani Singida kuvaana na Singida Unite mchezo utakaopigwa keshokutwa Jumamosi Uwanja wa Namfua.
Na Mwandishi Wetu

----

Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.

Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA

Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad