AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
“I do respect Zari a lot,” ameiambia Dizzim Online. “I respect Diamond a lot as well, and I respect all kama mke na mume. And kama Zari amechukulia vibaya ile situation I think it’s time I apologize because I never really meant anything bad,” aliongeza.
“Sikutemea kama watanzania wangeweza kuiona issue ile vile.”
Tahiya aliingia kwenye headline baada ya kupost video Snapchat huku kitandani kukiwa na Diamond Karanga na watu kuvumisha kuwa alikuwa Madale kwa Diamond. Amesema kwa miaka mingi sana amekuwa akitoa support kwa kazi za Diamond na wasanii wote wa WCB.
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK
mxeeeeeew!! mnatafuta kick tu na habari mbofu mbofu... ukipost diamond karanga unaomba msamaha??
ReplyDelete