AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Wasanii wa kundi hilo kwa sasa kila mmoja anafanya kazi kivyake huku Aslay pamoja na Beka Flavour wakionekana kufanya vizuri kutokana na vibao vyao walivyovitoa hivi karibuni kupendwa zaidi na mashabiki.
Akiongea na mashabiki waliojitokeza kwenye tamasha hilo, Aslay amewataka mashabiki kujipanga kwaajili ya kibao kipya cha kundi hilo.
“Asanteni sana mashabiki kwa upendo wetu kuna kitu kipya tunawaandalia,” alisema Aslay baada ya kumaliza show yao hiyo.
Katika show hiyo Maromboso ndiye msanii pekee wa kundi hilo aliyekosekana huku baadhi ya wadau wakidai muimbaji huyo anajiunga na WCB ndio maana ameshindwa kuonekana tena akiwa pamoja na kundi.
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK