AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Akizungumza na Star Mix, Tunda alisema hana ujauzito wa msanii huyo kama watu wasemavyo na kwamba huwa
anamuweka katika mitandao ya kijamii husan Instagram kwa sababu ya kumsapoti katika kazi zake.
“Ndiyo kwanza nasikia kwenu, siyo kweli na sina mimba yake. Huwa namuweka Insta kumsapoti kikazi tu maana ni rafiki yangu sana lakini watu walivyoona hivyo wakaanza kuzusha maneno hayo kwamba ninatoka naye na nina mimba yake. “Kuhusu kunenepa, nimenenepa kwa sababu nimeridhika na maisha mazuri niliyo nayo,” alisema Tunda.
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK