AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Mwandishi wa Habari wa Iraq, Muntadhar Al-Zaidi aliyemtupia viatu rais mtaafu wa Marekani George W.Bush, wakati wa mkutano wa waandishi wa habari wa Iraq mnamo tarehe 14 Desemba 2008 ameachiwa huru.
Katika tukio hilo la kusisimua, Bush alilazimika kukimbia, akiepuka kugongwa na viatu hivyo.
Kiatu cha pili kilichorushwa na mtu huyo, kilipiga bendera ya Marekani ambà po wakati huo, Al-Zaidi anacheka.
Baada ya tukio hilo, haraka walinzi walimkamata na kumtoa katika chumba. Matukio ya aina hii yalikuwa yakitokea mara kwa mara kwankiwango cha kimataifa.
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK