AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Ikiwa ni kazi ya pili kutoka kwa Queen Darleen chini ya usimamizi wa WCB Wasafi, baada ya ile ‘Kijuso’ aliyoshirikiana na Rayvanny. ‘Nitakufirisi’ umetimiza ahadi ya Queen Darleen iyotoka katikati ya mwaka huu katika mahojiano na Dizzim Online kuwa mwishoni mwa mwaka huu ataanza kuachia kazi zake rasmi.
Hata hivyo Queen katika ngoma hii mpya ameuzungumzia mfumo na hali ya kimahusano wa akina dada(kwa kuuvaa uhusika) na wanaume wenye kuiamini nguvu ya pesa katika kujiridhisha kimapenzi kwa kuwapa jibu kuwa kwa mwendo huo atawafirisi ‘Nitakufirisi’.
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK