AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Ameyabainisha hayo wakati akizungumza na wakufunzi wa Chuo cha Mafunzo ya Mboga Matunda na Maua (HORTI TENGERU) kilichopo katika Kijiji cha Tengeru, Kata ya Patandi, Wilaya ya Arumeru Mkoani Arusha.Kutokana na kubaini hilo Mhandisi Mtigumwe amesema kuwa Wizara ya kilimo inaandaa utaratibu wa kuwarudisha shule maafisa ugani ambao elimu zao ni ndogo na zimeshindwa kukidhi mahitaji ya wakulima.
Aidha katibu huyo mkuu amebainisha kuwa maafisa ugani hao watafanyiwa usaili upya ili kubaini uwezo wao kwani wengi wao wameajiriwa na serikali lakini wakulima hawanufaiki na elimu.Pamoja na hatua hizo katibu ameeleza kuwa maafisa ugani ambao wataonekana kushindwa kabisa kufikia vigezo na kuwa msaada kwa wakulima basi wizara itapendekeza waondolewe kazini.
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK