AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Uamuzi huo umefikiwa baada ya wanafunzi kulalamika kutoingiziwa mikopo na kusababisha kushindwa kujikimu.
Baada ya malalamiko hayo, imebainika ofisa huyo kutofanya uhakiki wa wanafunzi waliopewa mikopo, huku Serikali ilishatoa fedha kwa Bodi ya Mikopo ya Wanafunzi wa Elimu ya Juu (HESLB).
Profesa Ndalichako amesema leo Alhamisi Novemba 23,2017 kuwa, Serikali haiwezi kukwamishwa na watu wachache.
Ameagiza vyuo vingine kukamilisha mchakato wa mikopo ili kuondoa malalamiko ya wanafunzi kushindwa kupata fedha kwa wakati.
Pia, ameagiza wakuu wa vyuo vyote nchini kukaa na wanafunzi na kutatua matatizo yao badala yakukaa ofisini.
"Haingii akilini ofisa mikopo eti mwanafunzi anakufuata kazi yako ni kumzungusha badala ya kulifanyia kazi," amesema.
Profesa Ndalichako amesema kumekuwa na lawama kwa wanafunzi kwamba hawalipi ada kwa wakati, wakati Serikali ilishatuma fedha kwa ajili ya kuwapatia mikopo
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK