Barnaba Afuata nyayo za Diamond Aajiri Bodigadi

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Barnaba Afuata nyayo za Diamond Aajiri Bodigadi
MWANAMUZIKI wa Bongo Fleva nchini, Barnaba Elias, ‘Barnaba Classic’ ameamua kuajiri bodigadi wa kumlinda kwa ajili ya kujiongezea thamani.

Barnaba akizungumza na Showbiz alisema kuwa, ameamua kuongeza ‘value’ kwenye kazi zake na pia kuepukana na rapsha zisizo za lazima.


“Kuwa na bodigadi ni kuongeza value ya kazi yangu lakini pia kama wasanii kuna rapsha mbalimbali ambazo tunakutana nazo kutoka kwa watu ambao hawatutakii mema. Mashabiki wangu wasiniogope na kunitenga kwa sababu ya mlinzi wangu,”alisema Barnaba.
----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad