Wolper Atoboa Siri ya Gharama ya Jino Lake la Silva

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Wolper Atoboa Siri ya Gharama ya Jino Lake la Silva
HII ikufikie wewe mpenda ubuyu kuwa, lile jino la shaba ‘silva’ la staa wa sinema za Kibongo, Jacqueline Wolper Massawe lililoleta gumzo mitandaoni, mwenyewe amelifungukia kuwa, limemgharimu kiasi cha dola elfu 3 za Kimarekani (zaidi ya Sh. Mil.6 za Kibongo).

Akichonga na Star Mix, Wolper aliwashangaa wanaosema na kuweka picha zikimuonesha akiwa na mapengo wakati alifanya hivyo kwa makusudi na kuweka la silva ili kuwa na muonekano tofauti wa meno yake.

“Watu wanaongea tu bila kujua. Pengo hili nimelipandia ndege kwa makusudi na kwa taarifa yao tu hili jino la silva nililoliweka limenigharimu dola elfu 3 (Mil.6),” alisema Wolper.
----

Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.

Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA

Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad