Barnaba: Naitaji Wasanii wa Kike Katika Labe Yangu

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Barnaba: Naitaji Wasanii wa Kike Katika Labe Yangu
Msanii wa muziki Bongo, Barnaba amesema mwakani anahitaji kuanza kuchukua wasanii kwa ajili ya label yake ila wa kike pekee.

Muimbaji huyo ameiambia 5 Selekt, EATV kuwa anahitaji wasanii wa kike watatu kwani wa kiume tayari wapo wengi katika game.

“Mimi label yangu ni changa hata mwaka jana nilisema nitatambulisha wasanii, mwakani nitamtoa (Mula) na nitaanza kuchukua chapa nyingine na in fact nimesema nahitaji wasanii wa kike sana, nahitaji wa kike watatu tu” amesema Barnaba.

“Kwa hiyo wa kiume atabaki Mula pekee na ni sababu ya msingi sana wanaume tupo wengi sana, halafu nimeamua kufanya hivyo kwa sababu mimi ni mwandishi mara nyingi nyimbo zangu zinawiana kwa mabinti na nimeamua kuja hivyo, am sure mtu kama Diamond ameshasaidia sana” ameongeza.
----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad