Husna Maulid Afunguka Kuhusu Bifu Lake na Wolper "Aliyekuwa Anatugombanisha ni Mwanaume"

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

 Husna Maulid Afunguka Kuhusu Bifu Lake na Wolper "Aliyekuwa Anatugombanisha ni Mwanaume"
MASTAA wawili waliokuwa na bifu kwa sababu ya kuchangia bwana Mkongo ajulikanaye kama Mwami Radjabu, Jacqueline Wolper na Husna Maulid wamemaliza uhasama kati yao na sasa ni full vicheko.

Hali hiyo ilijidhihirisha juzikati kwenye sherehe ya kumbukumbu ya kuzaliwa ya Wolper, walipoonekana wakiwa karibu na

Husna Maulid.
kufurahi huku vyanzo vikisema warembo hao walielewana baada ya Husna kumwagana na bwana huyo.
“Si unajua Husna alishamwagana na Mwami ambaye alimvisha mpaka pete ya uchumba lakini hawakufanikiwa kufunga ndoa, kwa hiyo walimaliza tofauti zao,” kilisema chanzo.

Baada ya kuona na kupata habari kutoka kwa chanzo, Za Motomoto News

ilimtafuta Husna ambaye awali alikuwa hapendi kabisa kumsikia Wolper ambaye alikiri kumaliza tofauti zao.
“Tulishamaliza tofauti zetu, sina bifu na Wolper maana aliyekuwa anatugombanisha ni mwanaume na sisi ni wanawake hivyo wanawake tujifunze kuwa wanaume ni watu wa kupita tu,” alisema Husna.
----

Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.

Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA

Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad