AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Akizungumza na Kilinge, Davina alisema: “Huko nyuma mtu unakuwa na akili ya kitoto hata unapokutana na mtu anakuambia anakupenda na kuamua kufunga ndoa nawe (unamkubali), baada ya miezi kadhaa mnatengana.
“Sasa hivi nimekuwa najitambua vilivyo na uzuri najua yupi anakudanganya au anakupendea umaarufu tu, hivyo mambo ya kutumika bila mpango siku hizi hakuna tena kabisa.
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK