Davina: Siwezi Kutumika na Wanaume Sasa Hivi Najitambua

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Davina: Siwezi Kutumika na Wanaume Sasa Hivi Najitambua
MUIGIZAJI mkongwe Bongo Muvi, Halima Yahaya ‘Davina’, amesema hapendi tena kutumika kwa wa­naume ambao hawana msima­mo katika maisha yake zaidi ya kumzeesha.

Aki­zun­gumza na Kilinge, Davina al­isema: “Huko nyuma mtu unakuwa na akili ya ki­toto hata unapokutana na mtu anakuambia anakupenda na kuamua kufunga ndoa nawe (unamkubali), baada ya miezi kadhaa mnatengana.

“Sasa hivi nimekuwa najitambua vilivyo na uzuri najua yupi ana­kudanganya au anaku­pendea umaarufu tu, hivyo mambo ya kutumika bila mpango siku hizi hakuna tena kabisa.
----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad