Diamond Atoa Ushauri Alioutoa “Ili Ufanikiwe ni Lazima Udhalilike Kwanza”

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA



Diamond Atoa  Ushauri Alioutoa “Ili Ufanikiwe ni Lazima Udhalilike Kwanza”
December 22,2017 Mwimbaji wa Tanzania Diamond Platnumz ameandika maneno 53 ikiwa ni saa chache baada ya Mama Watoto wake Hamisa Mobetto na Zari kufanya party Kampala Uganda kwenye sehemu mbili tofauti ndani ya usiku mmoja.



“Ili ufanikiwe ni lazma Udhalilike kwanza… yaani lazima uwaonyeshe watu kuwa kitu fulani mie nakiweza… na katika kuwaonyesha huko kuna wengine watakudharau, watakubeza na kukucheka….ila kuna wengine watakipenda, watathamini, kukikubali na kukupa nafasi”

“Maisha ndio yako hivyo… Kadri unavyozidi kuogopa na kuona “watanichukuliaje” ndio unazidi kuchelewa kufikia ndoto zako…..amka sasa ukawaonyeshe”

kutoka na caption hiyo aliyoiandika Damond Platnumz imetafsiriwa kuwa ni maneno ya kumtia moyo mzazi mwenzake Hamisa Mobetto baada ya watu kusema party ya Hamisa haijajaza watu wengi kama party ya Zari the boss lady ambazo zote zilifanyika usiku wa December 21,2017.
----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad