AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Awali Harmorapa alikuwa ametupia maneno yenye kuleta mshikli kupitia akaunti yake ya instagram yenye zaidi ya wafuasi lakimoja, ambapo wengi wa mashabiki wake waliyatafrisi kuwa huenda uhusiano wake na usimamizi wake ukawa upo kwenye njia panda. Nikinukuu waraka huo ‘‘harmorapatz1Kila Jambo lina Muda wake maalumu kamwe lipangwalo Na Mungu hakuna Binadamu wakuzuia ..Naamini na Hili limepangwa na Muda likapewaWacha lichukue Nafasi yake sasa.. Muda ukifika nitapewa nilicho andaliwa#Newharmorapaintown” Staa huyo pia amewataka mashabiki wake wakae mkao wa kula kwani huenda wakati wowote akaliamusha dude.
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK