Hata Nape Aona Vyuma Vimekaza?

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Hata Nape Aona Vyuma Vimekaza?
Mbunge wa jimbo la Mtama kwa tiketi ya (CCM) Nape Nnauye amefunguka na kuandika jambo ambalo linawachanganya wananchi wengine wakihisi na kudhani amekubali kuwa kweli mtaani vyuma vimekaza huku wengine wakiwa na maana tofauti juu ya kauli hiyo.


Nape kupitia mtandao wake wa Instgram jana aliandika  "Ni rahisi kuchukulia poa kwasababu kwako mambo yanaenda, lakini sio hata kidogo" jambo ambalo liliwafanya wananchi waanze kueleza hisia  

Wiki kadhaa zilizopita Mbunge wa Mtama Mhe. Nape Nnauye alisema kuwa anachukizwa sana na kitendo cha watu kutafsiri kauli zake anazozitoa kwenye mitandao ya kijamii na kuzihusisha na kumsema Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Maguifuli.

----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad