Izzo B Afunguka Sababu ya Kumwaga Chozi Wakati Akitambulisha Ngoma Yake Mpya Kwenye XXL

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Izzo B Afunguka Sababu ya Kumwaga Chozi Wakati Akitambulisha Ngoma Yake Mpya
Mwanamuziki wa Hip Hop Izzo Bizness kazungumzia ishu iliyosababisha yeye kutoa machozi kwenye kipindi cha XXL, Clouds FM siku ya jana December 20, 2017 wakati alipokuwa akitambulisha wimbo wake mpya aliomshirikisha mkongwe Juma Nature wimbo unaoitwa “Baraka”.

Izzo Bizness ameleezea sababu na kusema alikuwa yupo kwenye emotion na wakati alipokuwa akitaka kujibu maswali aliyokuwa akiulizwa anapata kumbukumbu ya hustle alizokuwa akizipitia kwenye maisha alafu kuipigania ndoto yake…

"Nilikua kila nikitaka kujibu maswali nilikua yananirudisha nyuma na kukumbuka nilivyokuwa nafanya zile haso katika maisha yangu ya  nyuma na ilikuja automaticall sikutegemea kama ingetokea vile" Izzo B
----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad