AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Izzo Bizness ameleezea sababu na kusema alikuwa yupo kwenye emotion na wakati alipokuwa akitaka kujibu maswali aliyokuwa akiulizwa anapata kumbukumbu ya hustle alizokuwa akizipitia kwenye maisha alafu kuipigania ndoto yake…
"Nilikua kila nikitaka kujibu maswali nilikua yananirudisha nyuma na kukumbuka nilivyokuwa nafanya zile haso katika maisha yangu ya nyuma na ilikuja automaticall sikutegemea kama ingetokea vile" Izzo B
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK