AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Jokate amesema ni vema vijana wakatumia mitandao kuwa ajili ya kupata taarifa sahihi ambazo zitakuwa na manufaa kwao.
“Vijana wasitumie mitandao ya kijamii kujua Jokate amevaa nini leo au kaweka nywele gani inatakiwa watafute taarifa mbalimbali ambazo kila wakati hutolewa katika internet ili ziweze kuwapa ufahamu na pengine kuwasaidia” Jokate ameimbia EA Radio.
Katika hatua nyingine Jokate amesema ni vizuri kwa kijana kuwa na kazi yake binafsi ili aweze kujiamulia mwenyewe mambo yake kwamba leo afanye kazi gani nakadhalika.
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK