Jux Amtumia Ujumbe Huu Vanessa Mdee Baada ya Kusaini Universal Music Group

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Jux Amtumia Ujumbe Huu Vanessa Mdee Baada ya Kusaini Universal Music Group
Ni raha kuona mtu wako wa karibu anafanikiwa kupiga hatua kwenye jambo fulani. Jux ameonyesha kufurahia mafanikio ambayo anayapata mpenzi wake Vanessa Mdee.

Baada ya mrembo huyo wa Bounce kusaini dili nono na kampuni ya Universal Music Group, Jux ameonyesha kushindwa kuzuia hisia zake kwa kumpongeza Vee Money kupitia mtandao wa Instagram.

Kupitia mtandao huo Jux ameandika:

@universalmusicgroup @universalmusicgermany Najua unandoto kubwa sana kufika unapotaka na kila siku nakwambia inawezekana utafika tu hii ni moja ya njia kuelekea uko. hongera mama @vanessamdee you deserve this. Safari inaendelea #moneymondays #independentwoman #powerful #africanqueen #smart #cashmadame💰 #levels
----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad