AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Ferooz akiongea na EATV Digital amesema kuwa saizi ameachia wimbo wake mpya 'Najaribu' kama zawadi kwa mashabiki wake kwa ajili ya Christmas na Mwaka mpya ila ataanza rasmi kuachia kazi zake mwakani 2018.
"Saizi nimewapa mashabiki zangu video mpya kama zawadi ya sikukuu ila kazi rasmi zangu zitaanza kutoka mwaka 2018, ambapo kazi yangu ya kwanza ambayo nitaachia mwakani nimewashirikisha Chege pamoja na Rich Mavoko. Kwa hiyo niwaambie tu mashabiki kuwa 2018 ninakuja na kazi za moto zaidi" alisema Ferooz
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK