Kisa Kuolewa na 'Kiben Ten' Mama Mobeto Ampa Makavu Mama Daimond

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Kisa Kuolewa na 'Kiben Ten' Mama Mobeto Ampa Makavu Mama Daimond
MAMA mzazi wa Mwanamitindo maarufu Bongo Hamisa Mobeto, Shufaa Lutigunga amefunguka kuwa hayuko tayari kuolewa na “Serengeti Boy” wakati watu wazima wenzie wapo, kitendo ambacho kimetafsiriwa kuwa ni kumchana mama Esma.

Akizungumza na Risasi Jumamosi Mama Mobeto alisema kuwa, sasa hivi ameshakuwa mtu mzima na ni bibi mwenye wajukuu hivyo kuolewa na kijana mdogo ni kujishushia hadhi kama mama na bibi pia.

“Jamani mimi kama ni kuolewa basi nitaolewa na mtu mzima mwenzangu kwasababu Serengeti Boy kwangu haiwezekani, nahitaji kuolewa kweli ila nitaolewa na mzee mwenzangu ili wajukuu wapate babu,” alisema Mama Mobeto ambaye kwa kuongea hayo ni kama amemchana mama Esma amefunga ndoa hivi karibuni na kijana anayedaiwa kuwa ni Serengeti Boy kwake
----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad