AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
“Ni kweli mke wangu amemwagiwa pombe ni kwasababu alishtukizwa wazazi wamehoji na kushangazwa na hilo lakini nimewaelewesha kuwa yeye hakulitarajia alifanyiwa bila kujua, nashukuru wameelewa,” alisema Uchebe. Aidha Uchebe alisema kuwa hata hivyo anafanya kazi kubwa ya kumbadili mkewe Shilole, kwani alipomtoa ni mbali kwa vitendo na anaamini anabadilika kila siku, Mungu akijaalia atakuwa sawa na ataendana na yeye ambaye hanywi pombe.
“Mke wangu anakunywa pombe ingawa amepunguza sana kwa sasa, kwasababu ya mimi kumbadili ila bado naifanya kazi ya kumbadili siku hadi siku naamini atakaa sawa, nadhani hiyo ndio sababu ya wasanii wenzake kummwagia pombe,” alisema Uchebe.
Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.
Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA
Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK