Tukio la Shilole Kumwagiwa Pombe Kwenye Siku Yake ya Kuzaliwa Wakwe Wakelwa Wamjia Juu

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Tukio la Shilole Kumwagiwa Pombe Kwenye Siku Yake ya Kuzaliwa Wakwe Wakelwa Wamjia Juu
SIKU ya kuzaliwa kwa msanii wa muziki Zuwena Mohammed ‘Shilole’ alishtukizwa kwa kumwagiwa pombe na msanii mwenzake Irine Uwoya kitendo hicho kiliwashtua wakwe zake kwani ni watu walioshika dini ya kiislamu. Risasi Jumamosi baada ya kubaini hilo kutoka kwa sosi aliyekaribu na staa huyo na familia ya ukweni kwake lilimtafuta mume wa Shilole Ashrafu Uchebe ‘Uchebe’ ambaye alilifungukia suala hilo.

“Ni kweli mke wangu amemwagiwa pombe ni kwasababu alishtukizwa wazazi wamehoji na kushangazwa na hilo lakini nimewaelewesha kuwa yeye hakulitarajia alifanyiwa bila kujua, nashukuru wameelewa,” alisema Uchebe. Aidha Uchebe alisema kuwa hata hivyo anafanya kazi kubwa ya kumbadili mkewe Shilole, kwani alipomtoa ni mbali kwa vitendo na anaamini anabadilika kila siku, Mungu akijaalia atakuwa sawa na ataendana na yeye ambaye hanywi pombe.

“Mke wangu anakunywa pombe ingawa amepunguza sana kwa sasa, kwasababu ya mimi kumbadili ila bado naifanya kazi ya kumbadili siku hadi siku naamini atakaa sawa, nadhani hiyo ndio sababu ya wasanii wenzake kummwagia pombe,” alisema Uchebe.

----

Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.

Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA

Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad