Lulu Diva Kufunga Ndoa Ya Kimya Kimya

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Lulu Diva Kufunga Ndoa Ya Kimya Kimya
MREMBO anayefanya poa Bongo Flevani, Lulu Abas ‘Lulu Diva’ amefunguka kuwa japokuwa ndoa yake imekaribia lakini hahitaji kelele kwenye mitandao ya kijamii.

Akizungumza na gazeti hili, Lulu Diva alisema anamshukuru Mungu mipango yake ya harusi inaenda sawa, lakini ameamua kufanya kimyakimya kwa sababu hapendi iwe gumzo.

“Yaani ndoa yangu sitaki kabisa vurugu mbalimbali watu watasikia tu tayari nimeolewa, nashukuru Kila kitu kimeenda sawa katika maandalizi, baadhi ya watu nitakaowachagua kuhudhulia watapata mualiko tu,” alisema Lulu Diva
----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad