AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Akizungumza na Ijumaa wikienda, Masogange alisema kuwa, muda mwingi alishindwa kwenda kufuata biashara zake kutokana na kukabiliwa na kesi mahakamani hivyo kufanya dili zake nyingi kubuma.
“Bora tu 2017 uishe na mambo mengine yaendelee. Ulikuwa ni mwaka mgumu sana kwangu kwa kila kitu kutokana na kesi inayonikabili (ya matumizi ya madawa ya kulevya), labda mwaka mpya ukianza na mambo mengine yataenda vizuri,” alisema Masogange
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK