Mfumo Mwingine wa Kulipia Bill TANESCO Umeanzishwa

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

December 15, 2017  Shirika la umeme Tanzania (TANESCO) limetangaza mfumo mpya wa ulipaji wa Bill nchini kwa kutumia Government Electronic Payment Gateway (GEPG) ambao umeanza rasmi siku ya jana.

Akiongea na waandishi wa habari, Meneja TEHAMA wa TANESCO  Evaristo Winyasi amesema “mfumo huu mpya umeanza rasmi siku ya jana katika mkoa DSM na Pwani, lengo likiwa ni kuunganika na mfumo huu wa serikali ni matakwa ya sheria ya Bunge,”

“Wateja wanahudumiwa kwa njia mbalimbali kwa kutumia Benki na Mitandao ya Simu, lengo kuu ni boresha huduma kwa mteja, kuhakikisha mteja anapata huduma haraka na kwa usahihi,” – Winyasi
----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad