AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Akiongea na waandishi wa habari, Meneja TEHAMA wa TANESCO Evaristo Winyasi amesema “mfumo huu mpya umeanza rasmi siku ya jana katika mkoa DSM na Pwani, lengo likiwa ni kuunganika na mfumo huu wa serikali ni matakwa ya sheria ya Bunge,”
“Wateja wanahudumiwa kwa njia mbalimbali kwa kutumia Benki na Mitandao ya Simu, lengo kuu ni boresha huduma kwa mteja, kuhakikisha mteja anapata huduma haraka na kwa usahihi,” – Winyasi
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK