Mwanajeshi wa Zamani Aliyepanga Shambulio la Krismasi Akamatwa

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Mwanajeshi wa Zamani Aliyepanga Shambulio la Krismasi Akamatwa
Maafisa wa ujesusi nchini Marekani wamemkamata mtu anayedaiwa kupanga njama ya kufanya mashambulio siku ya Krismasi katika mojawapo ya eneo maarufu la kuwavutia watalii katika mji wa San Francisco.

Everitt Aaron Jameson, mwenye umri wa miaka 39 ambaye ni afisa wa zamani wa jeshi la majini la Marekani, ameshtakiwa kwa jaribio la kutoa usaidizi kwa shirika la kigeni linalohusishwa na visa vya ugaidi.

Bwana Jameson alifichua mpango wake kwa ajenti wa kisiri wa shirika la kijesusi la Marekani, FBI ambaye alimdhania kuwa ni mmoja wa viongozi wakuu wa kundi la Islamic State.

Anadai kumwambia ajenti huyo kwama siku ya Krismasi ni siku nzuri sana ya kutekeleza shambulizi na kwamba hakuna haja ya kutafuta kufanya mpango wa kutoweka baada ya shambulio hilo kwa sababu yuko tayari kufa.
----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad