Mwanamke Ajifungua Mapacha Wanne Mkoani Morogoro

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Mwanamke Ajifungua Mapacha Wanne Mkoani Morogoro
Mwanamke mmoja mkazi wa Mkoa wa Morogoro amejifungua watoto mapacha wanne katika Wodi ya Wazazi ya Hospitali ya Rufaa ya Mkoa huo.

Mwanamke huyo aliyefahamika kwa majina ya Asha Mashaka, amepata watoto hao siku ya jana(Ijumaa)

Bi. Asha amejifungua kwa Opareshini na sasa yeye pamoja na Watoto wake hao wanaendela vyema Hospitali hapo.
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad