AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Beki huyu alikuwa nahodha wa kikosi hicho, ameachwa na Simba kipindi hiki cha usajili wa dirisha dogo huku nafasi yake ikichukuliwa na beki Mghana, Asante Kwasi.
Mwanjali alisema kuwa, licha ya kupitia timu kadhaa huko nyuma, Simba ni moja kati ya timu ambazo aliyafurahia maisha alipokuwa akicheza kwa takriban miaka miwili.
“Sina la kusema lakini najua Simba ni klabu kubwa na ya kipekee katika Ukanda wa Afrika Mashariki kutokana na jinsi ambavyo imekuwa ikipambana kuhakikisha inaweka historia katika ramani ya soka pamoja na inavyowatunza wachezaji wake.
“Kila la kheri na mafanikio mema katika michuano yote ambayo ipo mbele yao, wapambane na kuweza kufika mbali zaidi ya walipo sasa,” alisema Mwanjale.
Ikumbukwe kuwa, Mwanjale kwa muda ambao amecheza Simba, amefanikiwa kutwaa ubingwa wa michuano ya Kombe la FA pekee msimu uliopita.
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK