AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Jeshi hilo limesema kinyume cha hilo, magari hayo hayataruhusiwa kuendelea na safari.
Kamanda wa Polisi Mkoa wa Pwani, Jonathan Shanna amesema hayo leo Jumanne Desemba 26,2017 akizungumzia namna walivyojipanga kidhibiti ajali.
Amewatahadharisha madereva wasio na uzoefu wa kwenda safari ndefu wasiendeshe magari ya abiria na badala yake watafute wazoefu ili kuepusha ajali zinazozuilika.
Amesema mwishoni mwa mwaka kumekuwa na ajali ambazo baadhi husababishwa na uzembe.
Taarifa ya Polisi Mkoa wa Pwani inaonyesha Januari hadi mwanzoni mwa Desemba mwaka huu matukio ya ajali yamepungua kutoka 396 za kipindi kama hicho mwaka jana hadi 98.
Kamanda Shanna pia ameonya wanaojihusisha na uhalifu na makosa mengine ya uvunjifu wa amani akisema wamejipanga kuwakabili.
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK