AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Kuna Taarifa zinazosambaa kuhusu mange kwenye mitandao ya kijamii ambazo inasemekana ni taarifa kutoka kwa Mange zinasema "Nimetafakari sana juu ya nchi yangu ninayopoteza muda wangu kuipigania sana juu ya watu ninaowapigania, nimehatarisha maisha yangu na familia yangu lakini naona napoteza muda bila sababuza msingi, nimeamua kufuta account yangu Instagramu na Kuachana kabisa na masuala ya mtandao"
Maamuzi hayo Magumu ambayo yamefanywa na mwanadada huyo ambaye amekua akiibua mambo mengi yanaoendelea nchini yamekuwa na maswali mengi huku watu wakihoji kuna ukweli kwenye hili???...
Je uamuzi wa wema Sepetu kurudi CCM ndio ulomfanya mange kujitoa katika mapambano aliyokuwa anayafanya katika mitandao ya kijamii.
Mange alijionyesha wazi kumpenda Wema na hata pale ilipotokea kuna mtu anamsema vibaya au kumuingiza kwenye tatizo wema Mange alikua kinara wa kumtetea kwa nguvu zake zote.
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK