Ni Kweli Mange Amefuta Account Yake ya Intagramu na Kuamua Kuachana na Mitandao ya Kijamii??

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Ni Kweli Mange Amefuta Account Yake ya Intagramu na Kuamua Kuachana na Mitandao ya Kijamii??
Mwanadada machachari ambaye amekuwa maarufu kupitia mitandao ya kijamii ususani Instagramu Mange Kimambi mtanzania Anayeishi Marekani Amewaacha mashabiki zake kwenye giza zito baada ya tetesi zinazoonekana kusambaa kwenye mitandao kuwa amefuta account yake na kuamua kuachana na mitandao ya Kijamii

Kuna Taarifa zinazosambaa kuhusu mange kwenye mitandao ya kijamii ambazo inasemekana ni taarifa kutoka kwa Mange zinasema "Nimetafakari sana juu ya nchi yangu ninayopoteza muda wangu kuipigania sana juu ya watu ninaowapigania, nimehatarisha maisha yangu na familia yangu lakini naona napoteza muda  bila sababuza msingi, nimeamua kufuta account yangu Instagramu na Kuachana kabisa na masuala ya mtandao"

Maamuzi hayo Magumu ambayo yamefanywa na mwanadada huyo ambaye amekua akiibua mambo mengi yanaoendelea nchini yamekuwa na maswali mengi huku watu wakihoji kuna ukweli kwenye hili???...

Je uamuzi wa wema Sepetu kurudi CCM ndio ulomfanya mange kujitoa katika mapambano aliyokuwa anayafanya katika mitandao ya kijamii.

Mange alijionyesha wazi kumpenda Wema na hata pale ilipotokea kuna mtu anamsema vibaya au kumuingiza kwenye tatizo wema Mange alikua kinara wa kumtetea kwa nguvu zake zote.
----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad