Mzee Chilo Afunguka Sababu ya Bongo Movie Kujikita Kwenye Tamthilia

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Mzee Chilo Afunguka Sababu ya Bongo Movie Kujikita  Kwenye Tamthilia
Muigizaji mkongwe nchini Mzee Chilo abainisha kuwa soko la filamu lipo ila filamu inachukua muda mrefu kuliko Tamthilia na ndiyo maana wamehamia huko, ila bado wanafanya filamu.

Pia Mzee Chilo aliyeanza kupata umaarufu kupitia tamhilia ya Jumba la Dhahabu ameeleza wamehamia huko pia ni suara la bajeti kwani filamu inachukua bajeti kubwa kuliko Tamthilia.
----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad