AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Bi. Bupilipili ametoa agizo hilo katika kijiji cha Kunzugu alipokuwa anazungumza ikiwa ni siku ya maadhimisho ya siku ya Ukimwi wilayani humo, ambayo pia iliadhimishwa kwa kupanda miti.
Mkuu huyo wa wilaya amewataka polisi kupita nyumba kwa nyumba kwenye nyumba za wageni, na kuwasaka wanawake ambao wanadaiwa kukodisha nyumba hizo kwa ajili ya kuendesha biashara za ukahaba.
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK
Miaka ya nyuma kulikuwa na zoezi la nguvu Kazi. Ukikamatwa tu unazurura unapelekwa moja kwa moja kijiji cha gezaulole na unakabidhiwa ardhi ili uwe mkulima na uachane kabisa na uzururaji. Wengi walinufaika katka hilo. Zoezi la kupunguza au kuzuia ukahaba likiwa constructive km lilivyokuwa lile la nguvu Kazi Itapendeza
ReplyDelete