AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Wakati furaha hiyo ikiwa kwa watu wengi lakini sio siku nzuri kwa Mbunge wa Jimbo la Mtama, Mhe. Nape Nnauye ambaye amefiwa na rafiki yake pia Kada wa CCM namba moja jimboni kwake ambaye alimsaidia kwa kiasi kikubwa katika kampeni zake za kuusaka Ubunge kwenye uchaguzi mkubwa wa mwaka 2015.
Kupitia kwenye ukurasa wake wa Twitter amethibisha hilo kwa kuandika “Nakulilia kaka yangu Mayage! Nilizunguka nawewe ziarani nikiwa Mwenezi, nilijifunza mengi sana kwako! Pumzika kwa amani kada wa kweli wa CCM na mkweli sana, hata pale ukweli unapouma! Binafsi natambua mchango wako! RIP!“.
Mungu akupe nguvu Mhe. Nnauye katika kipindi hiki kigumu kwa kuondokewa na moja ya makada wakubwa wa Chama chako.
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK