AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Akizungumza kwenye kipindi cha East Africa Breakfast kinachorushwa na East Africa Radio, afisa habari wa TFF Alfred Lucas amesema suala hilo limefikishwa kwa uongozi wa TFF na litatolewa majibu hivi karibuni.
"Msimamo utatolewa na viongozi wangu mara baada ya kukaa na kutafakari hali halisi kwa sasa, na wenye uwezo wa kukaa na kutafakari ni viongozi wa juu, itakapokuwa tayari mtajulishwa", amesema Alfred Lucas.
Hapo jana Zitto Kabwe ametoa wito kwa TFF kuitaka timu ya Kilinajaro Stars isusie mechi inayotarajiwa kuchezwa na Libya, ili kuonyesha kutokubaliana na vitendo vya ukiukwaji wa haki za binadamu kwa kuendeleza biasha ra utumwa.
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK
Pia umoja wa nchi za Africa uiwekee vikwazo Libya. Africa tuwe na sauti moja against slavery trade. Kamwe tusiliache tatizo kukua na Kuota mizizi, kwani itakuwa ngumu kulitokomeza km ilivyokuwa ngumu kutokomeza ubaguzi wa rangi na utawala wa kigeni kusini mwa Africa. Had Leo ndugu zetu weusi wa kiamerica wamekosa identity. Wanabaguliwa na kuuawa na wanaonekana sio originally wa America. Na mbaya zaidi hata huku Africa walikotokea kamwe hatujawahi kuwaona ni wenzetu na ndugu zetu hasa wa damu. Ila tuna wa identify km wa America. Kamwe sijasikia AU unequivocally ikipinga Mauaji yao au manyanyaso yao. Sijasikia AU ikidiscus au kuwatangazia 'wanetu rudini nyumbani na huku Africa ndo kwenu'
ReplyDelete