AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) limetoa tamko juu ya katizo la umeme la siku ya pili mfululizo baada ya siku ya jana Novemba 30, 2017 shirika hilo kutangaza kuwa kutakuwa na katizo la umeme kwa watumiaji wa umeme wa gridi ya taifa kwa mikoa yote.
Katika hali ya kushangaza watu walijua katizo hilo ni la jana tu kama ilivyotangazwa lakini leo pia, Umeme umekatika ghafla na TANESCO tayari wametolea maelezo ya katizo hilo la umeme kwa siku ya pili kupitia kwenye tovuti yao taarifa hiyo imesomeka kama ifuatavyo.
Shirika la Umeme Tanzania linawataarifu Wateja wake kuwa wakati Wataalamu wetu wanaendelea kurekebisha mifumo yetu ya grid kutokana na hitilafu iliyotokea jana, Imegundulika mifumo ya Gridi haijatengemaa vizuri na hivyo wanaendelea na kazi kuhakikisha huduma ya umeme inarejea.
Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.
Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA
Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK