AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Calisah amedai amekuwa akipokea vitisho kutoka kwa marafiki zake wa karibu wakidai wametumwa na muimbaji huyo aliyewahi kufanya vizuri na wimbo, Zeze.
“Ni kweli nimekuwa nikipokea vitisho kutoka kwa TID anadai namchukulia demu wake sio kweli,” Calisah aliimbia Bongo5. “Huyo demu nilikutana naye kwenye bwawa la kuogelea akajoin na mimi basi tukawa washkaji kabisa mpaka sasa tunaongea vizuri na ni watu wa kawaida,”
Muimbaji TID alimpost mrembo huyo kupitia instagram yake na kuandika “My melodies Sing back,Half human half Mnyama she is my Nusu kwa Nusu,”
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK
Hasa dem lenyewe mbona baya
ReplyDeletehuyo mwanamke ana tisha, sura ngumu mbona? ndio mnamgombania huyo? poleni
ReplyDelete