AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Rapper huyo kutoka kundi la Weusi amesema muziki unaendana na mapokeo yake na media nyingi sasa zinapiga muziki verse moja au mbili, pia wasanii wa Bongo Flava hawataki kukumbwa na kitu kilichokumba muziki wa band au taarab kutoka na nyimbo zao kuwa refu.
“Kwa hiyo watu wa media sasa hivi time zao ni ndogo, wanahitaji nyimbo fupi ili waweze kupiga muziki mwingi ili mtu anayesikiliza aone muziki unaenda ukibadilika, kwa hiyo sisi kama wasanii wa kizazi kipya tumeenda na time,” Nikki ameiambia Bongo5.
“Ukisema sasa unapiga verse tatu hamna mtu atasikiliza na kama unapiga inabidi iwe fupi, ndio maana ukisilikiza wimbo kama Dude au Madaraka ya Kulevya verse yangu ina mistari kama nane au 12 tu” ameongeza.
Nikki kupitia kundi la Weusi kwa sasa wanafanya vizuri na ngoma yao mpya ‘NiCome’.
Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.
Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA
Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK