AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Ujumbe wa alberto Msando kwa Wema sepetu baada ya kutangaza kurudi CCM Msando ameposti picha za mrembo huyo na kuandika kuwa "@wemasepetu we spoke and I repeat watakutukana, watajaribu kukudhalilisha, watatumia nguvu kuonyesha ufai, watakuombea mabaya, watatamani uanguke, watapenda uwe mnyonge, Ila ukweli wanajua ni suala la muda tu ukweli utajulikana. Muda ni kila kitu maamuzi haya ni sahihi na yeyote ambaye anakujari wewe kama rafiki ataelewa. Ni maisha yako,ni kesho yako, ni Tanzania yako @wemasepetu#forthosewholovetohate #hayawatanzaniauongowao #maamuzibinafsi #nabado #sindano #maumivuYakichwa #kuwangazisasabasi #theDon #hpolepole #sheIsback
Naye Jeri Murro ameandika hivi "Niliambiwa kuwa mtoto akinyea mkono huwezi kukata mkono always home is home "
----
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
-------------------
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
INTERNSHIP VACANCIES
GOVERNMENT VACANCIES
NGO'S VACANCIES
GOODLUCK