AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Bw Saakashvili 49, aliutaka umati kumuandoa madarakani rais Petro Poroshenko ambaye ni mshirika wake wa zamani.
Alipewa uraia wa Ukrain mwaka 2015 hatua iliyosababisha apoteze uraia wake wa Georgia.
Rais wa zamani wa Georgia aingia Ukrain kwa nguvu
Bw. Saakashvili amekuwa mkosoaji mkubwa wa Bw. Poroshenko.
Anamlaumu rais kwa kushindwa kumaliza ufisadi. Bw Porokoshenko amekana madai kama hayo hapo awali.
Georgian former President Mikheil Saakashvili flashes a victory sign after he was freed by his supporters in KievHaki miliki ya pichaREUTERS
Image caption
Umati wamuokoa rais wa zamani wa Georgia kutoka kwa polisi Ukrain
Akiwa na pingu kwenye mkono mmoja na akizungukwa na mamia ya watu, Bw Saakashvili aliwashauri wafuasi wake kutembea kwenda kwa bunge la Ukrain.
"Ninawashauri kuanza maandamano ya amani ya kumuondoa madarakani Poroshenko. Msiogope," alisema kwa njia ya vipasa sauti.
Ukrain: Urusi ilihusika na udukuzi wa mitandao
Maafisa hawazungumzi lolote kufuatia kukombolewa kwa Bw Saakashvili. Mapema maafisa waliokuwa wamejifunika nyuso walimkamata Bw. Saakashvili, 49 kutoka nyumbani mwake.
Bw Saakashvili anashukiwa kwa kupokea msaada ya kufedha kutoka kwa kundi lenye uhusiano na rais wa zamani wa Ukrain Victor Yanukovich.
Bw. Saakashvile anakabiliwa na kifungo cha hadi miaka mitano jela ikiwa atapatikana na hatia.
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK