AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Zitto Kabwe amesema hayo kupitia mtandao wake wa kijamii kufuatia uchaguzi wa Chama Cha ANC cha nchini Afrika Kusini ambapo walikuwa wakifanya uchaguzi kuchagua Rais na Makamu wake ndani ya chama.
"Jumatatu (leo) tutakuwa na Rais mpya wa Chama cha ANC. Kura zinapigwa hivi sasa huko Johannesburg. Ingawa nina ukakasi na Cyril Ramaphosa kuhusu Marikana, ninaunga mkono yeye kushinda na Makamu wake awe Lindiwe Sisulu. Pia Zuma aondolewe Urais mara moja baada ya wiki inayoanza kesho (leo)" aliandika Zitto Kabwe
Aidha Zitto Kabwe amesema kuwa ushindani wa uchaguzi wa ANC ni funzo kubwa kwa vyama vya siasa kuhusu Demokrasia ya ndani ya vyama hivyo.
"Uongozi imara wa Afrika Kusini ni muhimu sana kwa SADC na AU. Ushindani mkali wa Uchaguzi wa ANC ni funzo kubwa kwa vyama vyetu kuhusu Demokrasia ya ndani" aliandika Zitto Kabwe
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK
Je haya yako Zito zumbweli kambwe?
ReplyDeleteyana kuhusu Zinto zumbweli kambwe?
Wasamaria wema Msaidieni Dogo anapoteza Dira na majira.
Yakwako-yanakushinda-yajirani-utayaweza??
ReplyDeleteDu wadau hamkosi cha kukoment, kifup zipo south afrika ni taifa Mkubwa hakuna siasa za maji taka
ReplyDeleteDu wadau hamkosi cha kukoment, kifup zipo south afrika ni taifa Mkubwa hakuna siasa za maji taka
ReplyDelete