AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
“Afu na wewe Mose kweli unakaa chini unaandika upuuzi kama huo kama kweli ni wewe umeandika basi huna uso wa haya!….inawezekana pia Aunt ndo umejiandikilisha🤣ivi wewe Moze huna haya NAKUULIZA SWALI MOJA TU KWANINI ULINIBLOCK KUPIGA KIPINDI ANT AMEANZA KUNIULIZA KUHUSU HELA KWANINI YANI UNIBLOCK”-Tunda
“KWANINI HUKUTAKA NIKUULIZE IMEKUAJE HELA HAIJAFIKA DUKANI SIKIENI NYIE NITOLEENI UJINGA WENU HAPA WATU WAZIMA MLIOKOSA BUSARA NA AKILI YANI KABISA MIMI NIGOMBANE NA WEWE KISA LAKI KWELI HATA KAMA NINGEKUA SINA HELA SIWEZI KOSA LAKI YA KULIPA KWA HIYO MSITAFUTE STORY”-Tunda
“MMEMISI KUWEKWA FRONTPAGE KWENYE MAGAZETI MSINILETEE WAZIMU WENU AFU NINA SWALI KWANINI VIBENTEN VINAKUAGA NA MKONO MREFU YANI KABISA MOZE UMEONA NI BORA WATU WAGOMBANE KULIKO KUSEMA HELA ULICHUKUA KWA MATUMIZI MENGINE SHOGA WEWE !..Unantaka sio bure sina desturi ya kutembea na madancer🤪”-Tunda
“Una lako lingine nje ya pombe hilo linajulikana …wala hunisumbui JIBU NI LILE LILE ONGEA NA BENTEN WAKO AKUAMBIE HELA ALIPOPELEKA”-Tunda
Baada ya majibizano yaliyokuwa yakiendelea kati ya Tunda na Aunty Ezekiel , Mose Iyobo akaamua kumjibu Tunda kwa kuandika “Ujinga ni kubishana na mtu ambae kashafanya kila kitu ambacho wewe unafanya leo kama marudio unachotakiwa useme tu sina hiyo hela nitalipa siku flani”-Mose Iyobo
“Sio kuanza kuongea ushamba mke wangu awezi kutafuta kiki kwako ana mtoto maarufu kushinda wewe./kingine ben ten ni baba yako aliekuzaa akashindwa kukupeleka shule umeishia kufumuliwa free unakosa laki yakulipa pombe.”-Mose Iyobo
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK
Jamani mtoto mzuri anakosa pesa ya kupa bombe au kki
ReplyDelete