AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Akizungumzia kuelekea kuhusu mchezo huo Afisa Habari wa Azam FC, Jaffary Iddy Maganga amesema kuwa kikosi cha Azam FC iko imara katika kuweza kuwakabili Yanga na matokeo ya mchezo huo ni Dakika 90.
Azam watashuka dimba ni siku hiyo dhidi ya YangAfricans mchezo utakaokuwa wa kukata na shoka ambapo timu zote mbili zitakuwa na hamu ya kupata Ushindi wa pointi Tatu siku hiyo.
“Baada ya Timu kurejea kutokea Jijini Mbeya ambapo tulikokuwa na mchezo wetu na Tanzania Persons jana imeingia kambini na kuanza mazoezi kwa ajili ya maandalizi dhidi ya YangAfrica. Mchezo huo utakuwa ni mgumu ukizingatia Yanga nayo ni timu nzuri na Ina kikosi kipana lakini na sisi tumejipanga kunyakua pointi Tatu zenye ushindi wa mabao” Amesema Maganga
Mpaka sasa hivi Azam FC anashika nafasi ya pili kwa kwa pointi 30 kwenye misimamo Tanzania Bara akifatiwa na mabingwa watetezi YangAfrica mwenye pointi 25, huku wakiingozwa na pointi 33 za timu ya Simba.
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK