Dereva Alivyookoa Abiria Katika Basi la Tahmeed Lililowaka Moto

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Basi la Kampuni Ya Tahmeed lenye namba za usajili T483 BFL limeungua moto katika Kijiji cha Kabuku wilayani Handeni mkoani Tanga leo Januari 29, 2018.

Kwamujibu wa Kamanda wa Polisi Mkoani Tanga, SACP Edward Bukombe, basi hilo ambalo lilikuwa na abiria 9 likitokea jijini Dar es salam liliungua moto kutokana na hitilafu za umeme wa gari.

Alisema Dereva wa basi hilo, Bakari Said (34) alihisi halipo vizuri katika mfumo wa injini ndipo akasimamisha gari kisha kuwaomba abiria wote watoke ndani ya basi.

Kufuatia hatua hiyo, hakuna mtu aliyejeruhiwa kutokana na ajali hiyo. Hii ni mara ya pili kwa basi la kampuni hiyo kupata hitilafu kwenye mfumo wa injini na kuungua moto.
----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad