AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Akiongea na Bongo5 Ijumaa hii Afisa Habari wa Chama Cha Waigizaji Mkoa wa Kinondoni, Jafari Makatu amesema baada ya jana muigizaji huyo kufikishwa hospitali ya Muhimbili na kuangaliwa na daktari, alipewa kitanda cha kupumzika na baadaye kuruhusiwa.
“Ni kweli alipelekwa Muhimbili lakini hakulazwa kama baadhi ya watu walivyoripoti, alipewa kitanda kwaajili ya kupumzika na kusubiria vipimo na baada ya kufanyiwa vipimo aliruhusiwa kurudi nyumbani na akaambiwa leo aende tena kwaajili ya vipimo zaidi,” alisema Jafari.
Mapema mwaka jana muigizaji huyo mkongwe alitangaza kustaafu kuigiza na kudai kwa sasa amefungua kampuni yake ya masuala ya filamu.
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK